Saturday, October 4, 2014

SERENGETI FIESTA YAFUNIKA MKOANI SINGIDA

Msanii wa Bongo Fleva, Linnah Sanga akifanya vitu vyake stejini katika Serengeti Fiesta Singida usiku wa kuamkia leo.
Linnah akilishambulia jukwaa.
Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na burudani za Serengeti Fiesta Singida.
Staa wa Bongo Fleva, Dully Sykes akitumbuiza katika Tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo.
Msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego akilishambulia jukwaa.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta.
Mwana FA akifanya yake.
Recho akitumbuiza katika Tamasha la Fiesta mkoani Singida.
Kundi la Makomando.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo wakicheza.
Jambo Squad wakifanya yao.
Mashabiki wakiendelea kupagawa na burudani.
Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu 'Baba Jonii' akifanya yake.