Tuesday, October 21, 2014

ZINATISHA:PICHA ZA MTUHUMIWA WA UGAIDI KWA KULIPUA MABOMU ARUSHA AKIWA AMEUAWA

Polisi mkoani Arusha yamuua kwa risasi mtuhumiwa Namba Moja wa milipuko ya mabomu katika mikusanyiko jijini humo na umwagiaji watu tindikali baada ya kujaribu kutoroka akiwa njiani kwenda kuonesha bomu alilokuwa amelificha maeneo ya Kondoa mkoani Dodoma.