Saturday, November 1, 2014

HIVI NDIVYO GOLIKIPA WA TIMU YA TAIFA YA AFRIKA KUSINI ALIVYOAGWA KISHUJAA.

Mazishi Kipa S. AfrikaShughuli za kuaga mwili wa aliyekuwa golikipa na kapteni wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Senzo Meyiwa zimefanyika mchana wa leo Novemba 1 Durban.
Mchezaji huyo alifariki baada ya kupigwa risasi siku ya jumapili majira ya saa 2 usiku, Oktoba 26 akienda kumuokoa mpenzi wake aliyekuwa amevamiwa na majambazi nyumbani kwake, tayari mtuhumiwa wa kwanza amepandishwa kizimbani jana Oktoba 31.
Maelfu ya watu wamefurika uwanja wa Moses Mabhida, Durban mchana wa leo kwa ajili ya kuaga mwili wa golikipa huyo wakiwa wamevalia t-shirt zenye picha ya Meyiwa .
A hearse arrives at the Moses Mabhida stadium ahead of a funeral service of South African national soccer team captain and goalkeeper, Senzo Meyiwa, in Durban
SAFRICA-FBL-RSA-MEYIWA-FUNERAL
SAFRICA-FBL-RSA-MEYIWA-FUNERAL
Mazishi Kipa II
Mazishi Kipa
mAZISHI vi