Saturday, December 20, 2014

HUYU NDO MWANAJESHI ALIYE KUWA AKIWALINDA DIAMOND NA ZARI HOTELINI


Mlinzi kutoka jeshi la Uganda 
Hawa askari tuliwaona wakati Diamond Platnumz amewasili Uganda na kupokelewa Airport kwa mbwembwe sana. 

Kumbe ulinzi wao uliendelea mpaka siku ya sho ambapo mmoja wao aliwekwa Nje ya chumba cha Diamond na Zari. Ni Mlinzi kutoka jeshi la Uganda akilinda usalama Wa@diamondplatnumzna @zarithebosslady Hii picha akiwa nje ya chumba akiwasubiri wakati wakijiandaa.