Sunday, December 14, 2014
Maiti ya Kichanga yaokotwa shambani huko UKONGA
Mwili wa kichanga cha jinsia ya kike ulioanza kuaribika umeokotwa leo majira ya saa nane mchana katika eneo la Ukonga Sabasaba Kwa Diofu, kwenye shamba la mzee Msindo
Newer Post
Older Post
Home