Nicki amevunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na Missy Elliot aliyekuwa na nyimbo tatu zilizokamata nafasi ya kwanza kwenye Billboard, huku Minaj sasa akiwa amefikisha nyimbo nne.
Da Brat na Iggy Azalea ambao wote wana nyimbo mbili zilizofanikiwa kukamata nafasi ya kwanza wanakamilisha idadi ya wasanii wa kike waliofanikiwa kuwa na nyimbo nyingi kwenye nafasi ya kwanza kwenye chati za Billboard.