JIJI LETU

Wednesday, January 7, 2015

DAZ BABA ANAHALI MBAYA ANAHITAJI MSAADA WAKO MTANZANIA!

Duuh Ndugu zangu na wadau wa mziki Tanzania, hakuna asiyemjua DAZ BABA toka anahit song ya #Namba8. Sasa hii picha nimetumiwa WhatsApp na watu walioko Morogoro na wakaniambia kuwa Daz Baba anaumwa na anahitaji msaada wetu Watanzania na marafiki zake Wasanii wa Bongo Fleva. 
Nimewakilisha ujumbe kwa niaba ya wadau na mashabiki wa Daz Baba kutoka Morogoro, najaribu kufuatilia mahali alipo kwa hivi sasa huko Moro. 
at 9:50:00 PM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • HATIMAYE JOTI WA ORIGINAL COMEDY AMVISHA PETE MCHUMBA WAAKE WA SIKU NYINGI
  • Hii Siyo Siasa sasa daah
  • BEYONCE AFUNGUA KANISA LAKE NA KULIPA JINA LA 'THE INTERNATIONAL CHURCH OF BEY' NA PIA ANA BIBLIA YAKE
  • Mbaroni kwa kutesa mahausigeli
  • Tazama Picha za WEMA SEPETU Alivyopamba Mapokezi ya Lulu Michael Jana Kutoka Airport....
  • Gardner Alazimishwa Kudansi Laivu Wimbo Wa Jide!
  • Wananchi Waanza Kuhama Wakiogopa Kuchinjwa Tanga
  • Hii Hapa Orodha ya Nchi kumi (10) Maskini Zaidi Duniani Mwaka 2016
  • Wema awavua nguo Nuh, Shilole kwa kuwatolea maneno ya shombo.
  • JACK WOLPER AONYESHA NGUO YAKE YA NDANI SIDIRIA NA KUANDIKA 'HE LOVE'Z MY STYLE'
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.