JIJI LETU

Friday, January 2, 2015

INAUMA SANA! SOMA UJUMBE HUU ALIOUANDIKA WASTARA WA BONGO MUVI!


"Hii siku ya tal 31 mpka tal 2 January ni siku mbaya sana kwangu unifanya nilie kuliko siku zote uumwa sababu ya mawazo niliambiwa neno ambalo sikuwa tayari kulipokea, marehemu sajuki alisema.nitakufa huku watu bado wanasheherekea mwaka mpya nami nitakufa mwaka mpya alianza kuhesabu saa yake kufa tal 31 na kweli ilipofika tal 1 aliniomba nimtoroshe hosptal nimpelke beach akashike maji ya bahari kwa ya mwisho, ni rahisi sana wew kusoma haya maneno lakini ni maneno mazito na yenye kuchoma moyo wangu kila ifikapo mwaka mpya na siku nyingne si siku zenye furaha kwangu.
 NAWATAKIA FURAHA YA MWAKA MPYA MASHABIKI WANGU.....". Wastara

 Pole sana Wastara, yote ni mipango ya Mungu
at 9:27:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • NEYMAR ATUMA ‘PRIVATE JET’ KUMFUATA GIRLFRIEND WAKE NCHINI SERBIA!
  • PICHA HIZI ZA SHILOLE ZA MFANANISHA NA RIHANNA..KWELI KAMA MBELE VILE
  • Walinzi Watatu wa Suma JKT Watiwa Mbaroni Kwa Wizi wa Kompyuta 50 Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM )
  • TEAM WEMA WAKWERA NA TABIA YA WATU KUMZUSHIA WEMA
  • FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA MACHI 28
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MAY 31,2014
  • Zitto Kabwe Aongoza Kwa Wafuasi Wengi Mtandaoni Awazidi Wasanii
  • SHAMSA: NATAMANI KUONGEZA MTOTO, LAKINI NITAZAA NA NANI?
  • Mama Yangu Hapendi Nihame Nyumbani Kwetu – Ray
  • Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 8 May 2015
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.