JIJI LETU

Friday, January 2, 2015

INAUMA SANA! SOMA UJUMBE HUU ALIOUANDIKA WASTARA WA BONGO MUVI!


"Hii siku ya tal 31 mpka tal 2 January ni siku mbaya sana kwangu unifanya nilie kuliko siku zote uumwa sababu ya mawazo niliambiwa neno ambalo sikuwa tayari kulipokea, marehemu sajuki alisema.nitakufa huku watu bado wanasheherekea mwaka mpya nami nitakufa mwaka mpya alianza kuhesabu saa yake kufa tal 31 na kweli ilipofika tal 1 aliniomba nimtoroshe hosptal nimpelke beach akashike maji ya bahari kwa ya mwisho, ni rahisi sana wew kusoma haya maneno lakini ni maneno mazito na yenye kuchoma moyo wangu kila ifikapo mwaka mpya na siku nyingne si siku zenye furaha kwangu.
 NAWATAKIA FURAHA YA MWAKA MPYA MASHABIKI WANGU.....". Wastara

 Pole sana Wastara, yote ni mipango ya Mungu
at 9:27:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • Rayuu Afunguka Kuhusu Wanaume Wanne Waliomfanyia Mbaya Kisha Kumtosa Bila Kumuoa
  • Sherehe ya nyama ya mbwa Uchina yapingwa
  • Tazama Picha za WEMA SEPETU Alivyopamba Mapokezi ya Lulu Michael Jana Kutoka Airport....
  • AUNT EZEKEL Afunguka Kuhusu Mahusiano Yake Na WEMA Kwa Sasa
  • BABA, MAMA DIAMOND HOI KITANDANI...UGONJWA UNAOWASUMBUA NI HATARII
  • Vigogo TRA Wakutwa na Mamilioni Nyumbani Kwao
  • Mbunge Sugu Atoa Chozi Bungeni..Adai Suala la Mtoto wake na Faiza Ally ni la Kifamilia..Adai Bado Hajamchukua Mtoto Kutoka Kwa Faiza
  • Tazama hapa video ya Lady JayDee ‘Give Me Love’ Ft Mazet & DJ Maphorisa.
  • MWANAUME AJIBANDIKA UREMBO KUFANANA NA KIM KARDASHIAN:SOMA HAPA
  • Rais Magufuli Kusafiri Nje Ya Nchi Kwa Mara Ya Kwanza Kesho, Anaondoka Na Gari Sio Ndege
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.