Tuesday, January 20, 2015

SASA JACK WOLPER AMESANDA.... TUMEGUNDUA JANJA YAKE KUMBE NI USHAMBA M2PU NDIO UNAMSUMBUA

http://photos-h.ak.instagram.com/hphotos-ak-prn/10518263_675398179220391_100588132_n.jpg
Natumaini hakuna asiye mfahamu mwigizaji huyu maarufu hapa Tz, mara kwa mara amekuwa na skendo za hapa na pale huku magazeti yakimwandika kila kukicha.. lakini hilo si ambalo sana nataka kulizungumzia hapa.

Mara nyingine wolper anataka kick ama anataka aandikwe kwenye vyombo vya habari. Kipindi kidogo kimepita masanii huyu alikubwa na skendo mbaya ya usagaji na ikapelekea vyombo vya habari kukutana naye na kumuhoji juu ya swala hilo. Lakini kinyume na hapo wolper alikataa na kukana kuwa si msagaji.....

http://photos-f.ak.instagram.com/hphotos-ak-xpa1/928063_1540232719532045_205743081_n.jpg
Mara nyingine watu wanaweza kukujudge kwa muonekano wako, sasa Jack amezidi kuvaa mavazi ya kiume ambapo yanapelekea hisia tofauti miongoni mwa mashabiki mbalimbali huko Instagram. sio kwamba tunaingilia maisha yako no ila ni katika hali ya kujenga Status yako katika jamii kama Celebrities. 
 http://photos-e.ak.instagram.com/hphotos-ak-xpa1/927125_783024195051484_1390320470_n.jpg