Ningependa kuwashauri wasanii wa Tanzania
msiwe mnakubali kufanywa misukule na ma
promoter. Wanawatumia mnapokuja Hapa
hawawatafutiii vibali vya kazi mnaishia kuonekana
wabebasembe wakati nyie waimbaji. Msikubali
kupanda kwa majukwaa bila kujua taratibu
zimefanywa na mnalipa taxes otherwise
mtaishiakuaibika na kurudishwa wala msichungulie
ndani Ya Marekani tena kuweni wakorofiii,
msikubali kuharibiwa #NimeumiaLeoSana hii nchiii
inajiendesha kwa kodi sio mzaha, msipolipa ni she
she mpaka mnaona watu wanafungwa kisa
kukwepakodi. Msikubali kuharibiwa wakati
mnawaacha ma promoter uchwara wakila maisha
Hapa. #MapromoterFakeMkiharibiaWasaniiWetu na
nyie soon mkae mkao wa kuwajibika sio
kuwaumiza wanyonge wasanii wetu. Nimetoa la
rohoni Sasa promoter fake yeyote aniulize Kwani
ntawasaidia walioo athirika kuwaumbua, sina mengi
ila mtaelewatuu, kuna faida gani kuumiza mtu
anaetegemea riski Ya sauti yake? Mbona wengine
mnawafanyia taratibu sahihi? Mnasikia Raha gani
mtoto wa Mtu kutoruhusiwa kuingia???? Nawauliza
MapromoterFake???? Kama kunakitu kinaniudhi ni
kuumiza wanyonge, watu wasio na hatia... Y
Ashindwe safariiii hii kuingia? Ni kwasababu
mwaka Jana na miakayanyuma hamkumlipia kodi
mliwekapesa mifukoni au mlihongea vimada wenu,
#WanyongeWapeniHakiZao
