Tuesday, March 31, 2015

EMMANUEL MBASHA AFUNGUKA SAKATA LA GWAJIMA KATIKA TWITTER, ASEMA HAYUKO TAYARI KURUDIANA NA MKEWE

Katika Sakata linaloendelea sasa la Gwajima Kumtukana Askofu Pengo na la Kuzidiwa na Kukimbizwa Hospitalini akiwa mikononi mwa Polisi , Emmanuel Mbasha ambae inasemakana yeye na mkewe kuachana kuna mkono wa Gwajima ametoa maoni yake kuhusu Sakata la Askofu Huyo..
Jisomee Hapa Chini: