Sunday, May 3, 2015

Floyd Mayweather VS Manny Pacquiao kazi imeisha !! Huyu ndiye mshindi

fight-8a_rnd_5_3289903b

Najua watu wengi waliisubiri hii kwa hamu.. wengine hata sio mashabiki wa boxing lakini walijikuta wakivutiwa na hii.. Promo ilikuwa kubwa sana, pambano la kihistoria ambalo dunia nzima ililisubri ni hili kati ya Floyd ‘Money’ Mayweather na Manny Pacquiao.
Points tayari zimeamua, pambano limeenda kwa round 12, Floyd Mayweather kamshindaPacquiao kwa points sita tu.. Floyd ana points 117 na Pacquiao ana points 111.
 wattt_3289915b
 Kwa matokeo hayo Mayweather kaendeleza kuweka rekodi yake kubwa ya kutoshindwa pambano hata moja tangu amekuwa professional boxer.
 fight-6-a_rnd_2_3289901b
 fight-end-manny_3289916b
 fight-floyd-manny-_3289909b
 fight-floyd-win-be_3289919b
 fight-manny-floyd-_3289911b
 fight-manny-floyd-_3289914b

Shilingi yako uliweka upande upi mtu wangu ?? Nitafurahi kuona utakachoniandikia kuhusu hii..