Lucy alisema walipokua wanarekodi filamu hiyo ndio uvumi mwingi ulianzishwa. Ingawa mashabiki wengi walipinga kuwa haiwezekani filamu nzima ikahusisha watu wawili tu na kwamba hao wawili wanauhusiano lakini Lucy amesema kwamba filamu hiyo ikitoka itatoa majibu yote na amewasisitiza mashabiki wainunue filamu hiyo ya "kwanini nisimuowe".
Thursday, May 21, 2015
Lucy Avunja Ukimya Kuhusu MUME WA UWOYA BWANA Ndikumana
Lucy alisema walipokua wanarekodi filamu hiyo ndio uvumi mwingi ulianzishwa. Ingawa mashabiki wengi walipinga kuwa haiwezekani filamu nzima ikahusisha watu wawili tu na kwamba hao wawili wanauhusiano lakini Lucy amesema kwamba filamu hiyo ikitoka itatoa majibu yote na amewasisitiza mashabiki wainunue filamu hiyo ya "kwanini nisimuowe".