Wednesday, May 13, 2015

Pichaz…Pacquiao alivyopokea Ufilipino akitokea Marekani baada ya upasuaji!!

pac5
Bondia Pacquiao amerejia nchini kwake Ufilipino baada ya kufanyiwa upasuaji wa bega huko Marekani.
pac10
Pamoja na bondia huyo nyota wa dunia kushindwa baada ya kupigwa na mwenzake Floyd Mayweather raia wa nchi hiyo walionyesha kuendelea kumwamini na kujitokeza kwa wingi kumpokea.
pac3
Pacquiao alionekana muda wote akiwa na furaha licha ya maumivu ya upasuaji wa bega pamoja na kutofanya kile alichokidhamiria katika pambano hilo lililoweka historia duniani lililofanyika May 2, Las Vegas, Marekani
pac2
Pacquiao alipigwa kwa pointi na mpinzani wake na mara baada ya pambano kuliibuka lawama kuhusu bondia huyo kucheza huku akiwa mgonjwa
pac4
pac6
pac7
pac8
ndani