Wednesday, May 13, 2015
WANANCHI WA BURUNDI WASHANGILIA KUPINDULIWA KWA RAIS NKURUNZINZA
Wananchi wa Burundi wakishangilia baada ya
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kupinduliwa.
Maandamano ya kushangilia yakiendelea mjini Bujumbura.
Wananchi wakiwa wamezunguka vifaru vya kijeshi Bujumbura.
...Wakiendelea na shangwe.
(PICHA: BBC SWAHILI)
Newer Post
Older Post
Home