Monday, June 29, 2015

MAONYESHO YA BIASHARA YAANZA VIWANJA VYA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR

Lango kuu la kuingilia katika viwanja hivyo.
Moja ya mabanda ya maonesho ya biashara likiwa tayari kwa shughuli za maonyesho.
Mteja akiwa nje ya jengo la Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam akipata maelekezo.
Jengo la Maonyesho ya Wanafunzi wa Kozi ya Udaktari tawi la Muhimbili.
Hii ni sehemu ya Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijijini Dar es Salaam katika maonyesho hayo.
Hapa ni jengo la kampuni ya simu la TTCL.
Mahindi bora yakiwa katika yakionyeshwa katikaviwanja hivyo.
Shamrashamra za maonyesha zikiendelea.
MAONESHO ya biashara ya kimataifa yameanza jana jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (zamani vikiitwa Saba Saba) vilivyoko Barabara ya Kilwa ambako makampuni na taasisi zinaonyesha bidhaa  zake.
Uzinduzi rasmi wa maonyesho hayo utafanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Jakaya Kikwete,  Julai 3 mwaka huu.