Saturday, July 4, 2015

EXCLUSIVEE...KIWANJA CHA LADY JAYDEE KINAPIGWA MNADA...KUTOKANA NA KUDAIWA NA BENKI


Kiwanja cha mwanamuziki Led Jaydee aka Komando Jide ,kina pigwa mnada na benki ya EFC Tanzania Limited.Darcitycenter tuliamua kumtafuta meneja wa msanii huyo Waakazi ilikuweza 
kudhibitisha swala hilo na alifunga haya .

”Sifahamu chochote kuhusu hilo swala ”. Wakazi

source Darcitycenter.com