Meninah Ni Mwanamke Mrembo Katika Tasnia ya Bongo Flava
Hakika ni mrembo wa haja anayewakilisha vyema wanawake katika tasnia ya muziki wa Bongo Flava….Muziki na urembo huenda pamoja.Nani mwingine anakuvutia uzuri wake kati ya waimbaji wa kike wa Bongo Flava?
Hapa katika tuzo za KTMA 2014 wengi ndiyo waligundua huyu bint ni mrembo.