Sunday, July 5, 2015

Picha 12 za Diamond kwenye stage na Wanigeria!

.
.
Show ya road to mama inayoandaliwa na kituo cha runinga maarufu kama  MTV Base kama sehemu ya kusheherekea tuzo za MTV Base mwaka imefanyika Nigeria kwenye hoteli  ya Federal Palace.
Miongoni mwa wasanii waliotumbuiza usiku wa kuamkia leo ni Phyno, Diamond Platnumz, Patoranking na Yemi Alade, Iyanya, Olamide.Hizi ni picha za kutoka kwenye show hiyo.
.
.
.
.
.
Diamond Platnumz.
.
.
.
.
.
Babu Tale akiwa na Yemi Alade.
.
Patoranking.
.
.
.
Phyno.
.
Diamond Platnumz akiwa na Yemi Alade.
.
Diamond Platnumz.