Video..Unadhani Steven Nyerere amekurupuka kuutaka Ubunge Kinondoni? jibu liko hapa
Ni mwigizaji kutoka kwenye kiwanda cha bongo movie ambako pia amekua akikitumia kipaji chake cha uchekeshaji kwenye majukwaa mbalimbali na sasa anautaka Ubunge kupitia ticket ya CCM 2015.