Saturday, August 22, 2015

UBUYU WA MJIN MADEMU WA MJINI WAMUIBIA BWANA WAO SIMU AINA YA IPHONE 6

Mujini kaazi jamani hebu kubalini status zenu basi jamani kama bwana ako hana uwezo wa kununu iphone6 we kubali Techno tu ndio uwezo wake hebu ona sasa hawa Diva my feet Basi buanaaa john(mwenye koti jeupe na iphone kwenye jeanz)akawa amelewa hawa wadada john ni rafiki yake tu huyo mwenye kujiselfie na iphone ya wizi ila huyo rafiki yake walisaidiana kumuibia john iphone yake.. Ilikuwa hivi siku hiyo huko club news cafe baada ya kuiba simu wakawa hawana pass word ambapo john alimpa pass rafiki yake momo ili ikiwa hewani apate info....sasa wale madiva ushuz wakashindwa kuitumia simu sbb hawana pass walivyo wabaya wakamcall john aje mpk samaki samaki wakamnywesha na bia km vile gud frndz....mara wakamuuliza pass yake ya cm ili wamsaidie kutafuta kumbe walitaka wakaitumie pass kufungua simu na kuanza kuitumia..baada ya kuanza kuitumia huku momo akawa anapata info wakatoa taarifa polisi wakaanza kuitrace simu mpk mlangoni kwa huyo diva ushuz anayejipiga selfie...wakasombwa wote polisi ila mama yake huyo dada kaomba sana waachie wamesamehewa ila aibu wanayo asee......ona yule anavyombusu john kha kumbe kibaka!...muwe mnaiba michina chezea iphone wewe!...wadada mnatia aibu fanyeni kazi kwa bidii msipende slope kama mziwanda kutaka kiki za kijinga nami sikupost ngoo hata unye ikulu!... usipojipangantakupanga