Wakati anazungumza na kipindi cha XXL cha Cloudsfm, Diamond alisema “Nilikuwa studio nikaambiwa tu jamaa kapost wimbo wake, baada ya dakika chache nikaona amenifollow ndio maana nikaweka picha nikiwa studio na Neyo ili akinifuatilia zaidi ajue jamaa niko powa sababu ya collabo za kimataifa, nilitaka kurepost Nana ila nikajua wanigeria watajua Swizz kasikiliza nyimbo kupitia Nigeria, nili repost Nataka kulewa ili kuwaonyesha wanaigeria ni muziki wa Tanzania unakubalika”
Thursday, October 1, 2015
Diamond adai kuwa alirepost video ya ‘Nataka kulewa’ ili kuwaonyesha wanaija kuwa muziki wa Tanzania unakubalika
Wakati anazungumza na kipindi cha XXL cha Cloudsfm, Diamond alisema “Nilikuwa studio nikaambiwa tu jamaa kapost wimbo wake, baada ya dakika chache nikaona amenifollow ndio maana nikaweka picha nikiwa studio na Neyo ili akinifuatilia zaidi ajue jamaa niko powa sababu ya collabo za kimataifa, nilitaka kurepost Nana ila nikajua wanigeria watajua Swizz kasikiliza nyimbo kupitia Nigeria, nili repost Nataka kulewa ili kuwaonyesha wanaigeria ni muziki wa Tanzania unakubalika”