Thursday, October 8, 2015

Lowassa Apiga Kampeni Ya Kufa Mtu Namanga na Arumeru Magharibi......Leo Kutikisa Arusha Mjini

Mh. Edward Lowassa akiwa kwenye viwanja vya shule ya msingi Namanga, kwenye mpaka wa Namanga jana Jioni 7/10/2015

Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Mringa, Jimbo la Arumeru Magharibi, Jijini Arusha  jana Oktoba 7, 2015.