JIJI LETU

Wednesday, November 25, 2015

BASI UNAAMBIWA HII NDIYO TOP 1O YA NCHI ZINAZOONGOZA KWA KUWA NA MAJESHI IMARA ZAIDI DUNIANI.

Marekani ni nchi ambayo inaongoza duniani kwa kuwa na jeshi imara san.Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Global Firepower.Katika mchanganuo huu nguvu za nyuklia huwa hazijumlishwi kwa sababu ni kinyume cha makubaliano ya mashariti ya silaha za kivita.Majumuisho yote haya yako katika uwezo wa kutengeneza silaha bora zaidi za kivita za angani,ardhini na majini.Basi nimekuwekea hapa listi ya majeshi bora kwa mwaka huu unaoisha wa 2015

10. UTURUKI.

Uturuki inaungana na China pamoja na India katika kujaribu kuwa nchi yenye uwezo mkubwa kimajeshi.

9. JAPANI.

Utengenezwaji wa katiba mpya katika nchi ya Japani na katika kukuza jeshi tunaweza kushuhudia kukua kwa jeshi imara zaidi katika ukanda wa mashariki ya mbali.

8. UJERUMANI.


Ujerumani umekuwa ni kiongozi mkuu wa ulaya kiuchumi na imekuwa ni muhimiri mkubwa kiuchumi

7. KOREA YA KUSINI.

Kushirikiana kwa mpaka kati ya korea ya kusini na kaskizini,na kutokana na mahusiano yao kuwa mabaya kumeifanya korea ya kusini kutengeneza silaha kali za kivita kwa ajili ya tahadhali.

6. UFARANSA.


Ufaransa imeweza kutengeneza silaha kali sana  za kivita,kwa sababu imewekeza sana katika kupambana na majeshi ya  Afghanistan, Libya, Mali, na ISIS.

5. UINGEREZA.

4. INDIA.

3. CHINA.

2. URUSI.

1. MAREKANI.

at 9:49:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • Sakata la ESCROW: Magufuli mkamate Seth wa IPTL
  • PICHA HIZI ZA SHILOLE ZA MFANANISHA NA RIHANNA..KWELI KAMA MBELE VILE
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO OCTOBER 16 2014
  • Diamond Platnumz Kuperform Nana for the first time in South Africa Mtv MAMA nominees Announcement
  • Benki Kuu Yatoa Tamko Wanaonunua Sarafu Ya 500
  • BAADA YA KUTUA BONGO DAVIDO ALIKIRI WAZI KUWA HAWA NDIYO WANAWAKE WAREMBO ALIO TOKEA KUWATAKA KIMAHABA
  • MASIKINI BINTI AFARIKI DUNIA BAADA YA POWERBANK KUMLIPUKIA AKIWA USINGIZINI
  • Mke Anasa Picha Chafu Za Hawara...Bofya Hapa Kuziona!
  • KWELI MKUDE SIMBA NI HATARI SANA HUKO INSTAGRAM TAZAMA ALICHOKIPOST LEO HII USIPOCHEKA .. SJUI
  • UWEZO WA MAJANI YA PAPAI KATIKA TIBA
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.