Huddah Monroe Awasalimu Mashabiki Wake wa Bongo Kwa Kutupia Picha za Nusu tata
Huyu ni mwanadada kutoka Kenya, kwasasa yupo hapa Dar….(amekuja kula bata…PICHA ZAKE AKILABATA MCHANA HAPA akiwa Hyatt Regency Dar Es Salaam, The Kilimanjaro.. )..sasa usiku jana Alitupia Picha hiyo Hapo Juu Kuwasalimu Mashabiki wa Bongo Tanzania