JIJI LETU

Tuesday, December 1, 2015

TAARIFA MPYA YA KESI YA KAFULILA :::MAHAKAMA KUU KANDA YA TABORA YATUPILIA MBALI PINGAMIZI LA WAKILI WA HUSNA DHIDI YA KAFULILA.

Jana Mahakama Kuu Kanda ya Tabora inayosikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Kigoma Kusini ilofunguliwa na David Kafulila dhidi ya washtakiwa; Husna Mwilima, Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya uvinza kama msimamizi wa uchaguzi na Mwanasheria mkuu wa Serikali ilipokea pingamizi toka kwa wakili wa Husna Mwilima kutaka Mahakama Kuu isiendelee na kesi hiyo kwakuwa Mhe Kafulila hakufuata taratibu katika ufunguzi wa kesi hiyo.

Katika utetezi wa wakili wa Kafulila Daniel Lumenyera, Tundu Lissu waliomba mahakama itupilie mbali pingamizi hilo la wakili maarufu Fungamtama kwa hoja kuwa ni usumbufu kwa mteja wao na halina mana yoyote kwa kesi ya Msingi.


Leo Jaji anaesikiliza kesi hiyo Bi Leila amezingatia ombi la Fungamtama na utetezi Lumenyela na kuamua kutupilia mbali pingamizi hilo la wakili wa Husna na kumtaka Husna Mwilima kumlipa Kafulila gharama za usumbufu kwa kuweka mapingamizi yenye sura ya kupoteza muda na usumbufu.

leo Mahakama imendelea na hoja ya kutathimini gharama ya dhamana ambayo Mhe Kafulila atapaswa kuweka kama dhamana ya kesi ili kesi ya msingi iweze kuanza.

Uamuzi kuhusu kiasi gani Mhe Kafulila atalipwa kama dhamana utatolewa kesho na Mahakama.
at 10:40:00 PM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • Mbwa Anunuliwa Miwani, Viatu Na Headphone
  • Taswira Ya Jengo La Ghorofa 16 Linalovunjwa Dar Baada Ya Kukiuka Taratibu
  • EMBU ONENI HOJA ZA WAZIRI TIBAIJUKA HAPO
  • Msafara wa Sugu Washambuliwa kwa mawe Wakati Akielekea Mkutanoni
  • MIPANGO YA ALSHABAAB KUMUUA RAIS WA KENYA YAFICHULIWA... SOMA HAPA A TO Z
  • T.I AMEHOJIWA TENA MAREKANI NA KUZUNGUMZIA MENGINE MAPYA KUHUSU TANZANIA
  • BAADA YA UVUMI WA KUWA NA UJAUZITO WA DIAMOND,MENINAH KAYAZUNGUMZA HAYA.
  • KAULI NZITO ALIYOITOA BERNAD MEMBE KUHUSU KUFUTWA UCHAGUZI ZANZIBAR
  • Anayemmaliza Ray C Huyu Hapa
  • Picha 12 za Chid Benz alipofikishwa Mahakamani leo kwa mara ya kwanza
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.