Wednesday, January 27, 2016

Mistari Ya Afande Sele Akimchana Vibaya Aliyeondoka, Akimsifia Magu.

Afande Sele 'Simba dume' "Miaka kumi ya kaka yako madarakani wagonjwa wanalala chini Muhimbili huku nchi ikigeuzwa ya familia moja wewe ukishinda angani kwa safari za ughaibuni zisizo na tija lakini hukusema kitu,leo mwenzio akiwa na mwezi mmoja tu Muhimbili vitanda kibao mpaka vimezidi idadi ya wagonjwa na madawa bwerere bei karibu na bure,t-scan, MRI mpyaaa halafu wewe unamkosoa,acha hizo Beka tunajua bro wako alikuandaa wewe uwe mrithi wake lakini Mungu aliipenda zaid Tanzania kuliko familia yenu,Go Pombe go, tumbua majipu Doctor"