Wednesday, April 6, 2016

Msanii Wa Bongo Baraka Da Prince Aweka Wazi Kuhusu Kolabo Yake Na Alikiba

 
Barack Da Prince amesema kuwa ana collabo na nyota wa Lupela Ally Kiba ambapo iko tayari, msanii huyo aliye wahi kuwika na ngoma Nina Imani Nawe na Siwezi.
Amesema nisamehe ni wimbo mpya ambao amemshirikisha Alikiba ambao utatoka hivi karibuni. 
"Alikiba ni kaka yangu ananishauri vitu vingi katika muziki nipo nae kwahiyo haikuwa kazi ngumu kumpata” hayo ameyasema kupitia kituokimoja na Television Nchini ambapo katika show hiyo aliambatana na mpenzi wake Najma (Naj).