Sunday, April 3, 2016

Picha Hizi Alizopost Yound D Zazua Gumzo Mtandaoni


Mwanamuziki Young D maarufu kama Paka Rapper amezua utata mtandaoni baada ya kupost picha amemshika kalio mwanadada mrembo anayefahamika kama PV Cambo.
Hizi ni baadhi ya comments za mashabiki wa Paka Rapper
@victoriae851 wewe umemuacha tunda mlikuwa mnaendana sana.ilo gumegume bayaaaaaa
 
@_yorlanda @ms_sashalyne hahaha…mi sku namuona @pvcambo mliman i was like waaaat so ndio huyu mdoli wa insta..iphone camera achana nazo kabisa…u even cuter hundred times than her…ig inadanganya….mm bai
 
@luizy_lizzy @official_tunda ww ndo kiboko kabisa sio uyu we @youngdaresalama unafeli nataman nkutukane yan pimbi zunguka mabucha yote nyama ni nyama tu