Tuesday, April 5, 2016

Tanzia: Mwenyekiti Wa CHADEMA Mkoa Wa Iringa, Sinkala, Apata Ajali Na Kufariki

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Iringa, Sinkala Mwenda amepata ajali jioni ya leo eneo la Tanangozi.

Amekimbizwa hospitali lakini kafariki dunia usiku huu.