Thursday, September 4, 2014

HII ndo NYUMBA YA SPIKA WA BUNGE ILIYOGHARIMU TAKLIBANI BILION 1.5


Uzunguni nje kidogo ya Dodoma mjini imegharimu takribani Tshs 1.5 Billion na imejengwa na kampuni ya Pacha Building Construction Company. Hii inakuwa nyumba ya kwanza rasmi ya Spika kwani hapo awali hapakuwahi kuwa na nyumba rasmi ya Spika.
Photo via John Bukuku