Monday, September 8, 2014

PICHA ZA AIBU: MAMBO YA VIGODORO ,MKE WA MTU AVUA NGUO MBELE YA WATOTO WADOGO..JIONEE MWENYEWE MAPICHA


Ovyooo! Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la ‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani hapa, aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul (pichani), amejitoa fahamu kupitia Kigodoro na kujikuta akisaula nguo hadharani.

Pichani juu na chini mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul akijiachia na kumwaga radhi bila uoga.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri juzikati, majira ya mchana kwenye kigodoro mbele ya watoto waliopokea ekaristi takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Monica lililopo maeneo ya Kihonda mkoani hapa.

Mke wa mtu, Mama Abdul akiwa na rafiki yake.
Mke huyo wa mtu alimwaga ‘lazi’ hizo kwa kushirikiana na mdogo wake wa damu aliyefahamika kwa jina moja la Jacqueline wakati wakimpongeza mtoto wa rafiki yao aliyepokea ekaristi.
“Unajua walikuwa wanatumia kigezo cha ‘ananijua nani pande hizi’ kumbe wanajishushia heshima na shughuli yenyewe ni ya kikanisa,” alisema mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo la aibu.

<<<LULU MICHAEL AACHIA PICHA NYINGINE AKIWA KATIKA POZI ZA KIMAHABA..BOFYA HAPA KUZICHEKI>>>