Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu baada kuuaga mwili wake
YP alifariki usiku wa kuamkia jana baada ya kulazwa katika hospitali ya wilaya ya Temeke kutokana na kusumbuliwa na kifua. Tazama picha.
Fela na Babu Tale kwa nyuma
Juma Nature akiwa na ndugu wa marehemu
-bongo 5