DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ALL WHITE CIROCPARTY ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA
Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.
The Boss Ladyakiwa katika pozi.
Diamond Platnumz na The Boss Lady wakitoka hotelini.
... Wakipanda gari.
Umati wa watu waliojitokeza katika shoo yaAllWhite Cirocparty usiku wa kuamkia leo.
Diamond Platnumz (kushoto) na The Boss Lady wakipiga picha nje ya Ukumbi wa Guvnor.