PICHA: JOKATE ATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA KULEA WATOTO YATIMA-TANDALE
Mrembo Jokate Mwegelo katika kusheherekea sikukuu ya X Mas Dec 27 ametoa msaada kwa watoto yatima wanaolelewa katika kituo kilichopo Tandale, Dar es Salaam.
Hizi ni baadhi ya picha za Jokate alipotembelea kituo hicho na kukabidhi msaada huo.