Madeira ni kisiwa kizuri na kikubwa ukiwa Ureno, lakini stori ikufikie kwamba kisiwa hicho kina umaarufu wa vitu viwili tu vikubwa; kwanza ni mvinyo, cha pili ni Cristiano Ronaldo.
Wamefanya kitu kikubwa kumuenzi staa huyo wa soka, jumapili ya December 21 kumezinduliwa sanamu kubwa la mchezaji huyo katika kisiwa hicho