Friday, January 2, 2015

UNAPENDA KUKIONA ALICHOKIFANYA DIAMOND NCHINI RWANDA ? PICHA ZIKO HAPA

.
.
Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz usiku wa kuamkia Jan 2 amefanikiwa kudhihirisha kwanini anakubali Afrika Mashabiki baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wa nchi yaRwanda kwa show kali iliyofanyika katika viwanja vya Amahoro Stadium.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye show hiyo
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Diamond Platnumz akiwa kwenye stage.
.
Mashabiki waliojitokeza kushuhudia show ya Diamond iliyofanyika katika viwanja vya Amahoro Stadium.
.
.