Tuesday, February 3, 2015

WAUAJI WA ALBINO WAGOMA KUINGIA MAHAKAMANI NA KUKAA CHINI YA BENDERA YA TAIFA


Washitakiwa wa makosa ya mauaji ya albino wilayani Biharamulo mkoani Kagera wamegoma kuingia mahakamani na kukaa chini ya bendera ya Taifa.