Monday, March 30, 2015

STARS NA MALAWI KATIKA PICHA JANA KIRUMBA


Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta (kushoto) akimtoka beki wa Malawi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jana Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mechi iliisha kwa sare ya 1-1.

Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Malawi
Haroun Chanongo akipasua katikati ya mabeki wa Malawi
Beki wa Tanzania, Aggrey Morris akimdhibiti mshambuliaji wa Malawi
Shomary Kapombe akitafuta maarifanya kumpita beki wa Malawi
Mwinyi Kazimoto akiwania mpira dhidi ya kiungo wa Malawi