Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta (kushoto) akimtoka beki wa Malawi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jana Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mechi iliisha kwa sare ya 1-1.
Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Malawi |
Haroun Chanongo akipasua katikati ya mabeki wa Malawi |
Beki wa Tanzania, Aggrey Morris akimdhibiti mshambuliaji wa Malawi |
Shomary Kapombe akitafuta maarifanya kumpita beki wa Malawi |
Mwinyi Kazimoto akiwania mpira dhidi ya kiungo wa Malawi |