Saturday, May 2, 2015

BABU TALE AZUNGUMZIA MGOGORO MPYA WA DIAMOND NA DIMPOZ, COLABO YA DIAMOND NA USHER RAYMOND

Babu TALEBabu Tale ni meneja wa msanii Diamond Platnumz alipita kwenye studio za TZAakafanya interview ambayo nimekusogezea kwenye AyoTV.
Huenda kuna mengi hujawahi kuyasikia kuhusu yeye, anayo na mengine kazungumzia ya kuhusu Diamond, hii hapa ni Part 1 ya hii exclusive interview, bonyeza play uicheki.