JIJI LETU

Saturday, May 30, 2015

Diamond Platnumz tena… kaitoa hii video mpya aliyofanya na Mr. Flavour..ITAZAME NA KUIDOWNLOAD HAPA

DiamondHii ni kolabo nyingine kutoka kwa Mtanzania Diamond Platnumz ambae zamu hii kamshirikisha mkali kutoka Nigeria Mr.Flavour kwenye single inaitwa Nana kupitia kwenye mikono ya director GodFather.
Diamond Platnumz ametumia dakika hizi tatu kumwimbia mrembo aliye mbele ya macho yake,unaweza kumuandikia chochote hapa Diamond baada ya kuitazama video na atapita kusoma comments za watu wake.

at 11:59:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • HUU NDO UTAJIRI WA MCHUNGAJI GWAJIMA....NDIYE ASKOFU TAJIRI NO.1 TANZANIA
  • Mbaroni Kwa Kumfanya Mke Wa Mtu ‘Msukule’
  • HAYA NDIYO MAMBO YA MINZIRO, NI BURUDANI YA ZIADA ZAIDI YA DAKIKA 90 ZA MCHEZO UWANJANI
  • MWEZI MTUKUFU WAMUOKOA MTUHUMIWA WA WIZI
  • LINAH Ajiweka kimaaba kwa kaka yake ZARI
  • Kweli Bongo Flava Inalipa Ona Jumba la Kifaari la Mwanamuziki JUX
  • Maiti ya Sangoma Yazua 'Timbwili' Mbeya...Yazikwa Ndani ya Nyumba yake Usiku
  • Rais Magufuli aitumbua Tanesco
  • KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI
  • Tafadhali Usijaribu Kula Chakula Kwa Namna Hii...Ni Hatari Kwa Afya Yako
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.