JIJI LETU

Wednesday, June 17, 2015

BREAKING NEWZ : MSANII BEN POL ANUSURIKA KUPOTEZA MAISHA BAHARINI

Sio Ben Pol peke Yake bali kulikua na watu wengine ambao alikua nao kwenye boti moja walitokea kisiwani.
Kwa mujibu wa story aliyotoa Ben Pol ni kwamba boti yao ilifeli engine yake na kuanza kujaa maji. Kilichowasaidia ni life jacket walizokua wamevaa.
Mtu mmoja haonekani hadi sasa na waliokolewa na boti ya wavuvi iliyopita karibu yao. Vinginevyo ingekua story nyingine.


at 8:38:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • Bilionea Dangote akagua ujenzi wa kiwanda chake cha Saruji Mtwara‏
  • WEMA AFANYA KUFURU KWA MAGUFURI JANA:AMWAGIA DOLLA MAGUFURI KUMTUNZA AKIPIGA NGOMA
  • MHE. WASIRA AAMUA KUMWONA SHERIA NGOWI ILI AMTENGENEZEE SUTI ZAKE
  • KAKOBE ALIWAHI KUWA MWANAMUZIKI
  • YASEMEKANA ETI HAWA NDO WASANII WANAOPENDWA SANA NA MADEMU TANZANIA
  • WATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA SHERIA KUWADHIBITI KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU
  • Mastaa Bongo Wenye Mashabiki Wengi Instagram
  • ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA)
  • THE BOSS LADY, ZARI HASSAN AKIBURUDIKA NA KIVAZI KILICHOACHA MAPAJA NJE NJE
  • LOWASSA AAHIDI UTENDAJI SPIDI 120
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.