Saturday, June 6, 2015

MAIMARTA JESSE AMPONGEZA WEMA KUIBA BWANA WA LINAH

Mtangazaji wa Maimartha Jesse amempongeza madam Wema Sepetu kwa kupata mpenzi mpya.Amemwita mdogo wake mzuri mzuri akiwa nikiashirio cha kubariki ukwapuaji wa mpenzi wa zamani wa Linah Sanga.Pia amempongeza Aunt Ezekiel kwa kupata mtoto na kuahidi kumtembele mtoto huyo Cookie.Huku akipiga biti kwa atakaye mtukana kwa kutoa hongera atamfanya kitu mbaya.