Breaking Newzz....ANGALIA MATOKEO YA MTIHANI YA KIDATO CHA SITA (NECTA)
Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha sita uliofanyika mwezi wa tano mwaka huu yametoka leo.
-Yametangazwa rasmi na Baraza la Mitihani la Taifa(NECT
Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa mtandaoni rasmi na Baraza la Mitihani nchini almaarufu kama NECTA. Kuyaona matokeo hayo ingia hapa:
http://necta.go.tz/matokeo/2015/Alevel.htm