Tuesday, February 9, 2016

CHADEMA yampigia magoti Dk. Slaa. Wamtaka Arejee Kwenye Ukatibu Mkuu, Mwenyewe 'Awatolea nje'


Kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, zimesambaa taarifa za CHADEMA kumuomba Dr Slaa kurejea chamani na kwenye nafasi yake ya Ukatibu Mkuu. Tafsiri ya ombi hilo la CHADEMA kwa Dr Slaa ni kwamba hawajapata mtu wa kuvaa viatu vya Dr Slaa ambavyo hakuna mwenye uwezo wa kuvivaa. Hapa maneno ya Mwanasheria Mkuu wa chama hicho Tundu Lissu kuwa viatu vya Dr Slaa ni vikubwa na kwamba hakuna mwenye uwezo wa kuvivaa ndani ya CHADEMA yanapodhihiri.
Taarifa za chini chini zinasema kuwa Dr Slaa amekataa wito huo wa CHADEMA