Wednesday, March 23, 2016

Picha 10 za Maandalizi ya Kumwapisha Rais mteule wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein katika uwanja wa Aman Kesho Alhamisi March 24

Maandalizi ya kumwapisha Rais Mteule wa Zanzibar hapo kesho  katika uwanja wa Aman Zanzibar yamekamilika. Mpekuzi Blog itakujuza kila kitu. Endelea kuwa nasi