Daladala inayofanya shughuli zake katikati mwa Jiji la Dar ikionekana kupita katikati mwa barabara hizo.
Bajaj ikikatiza kupita licha ya kuweka uzio wa kamba.
Kibao kinachoonesha kuzuiliwa kupita kwa waendesha magari ya kawaida na bajaj eneo la Ubungo Stendi ya Mabasi.
Mmoja wa wasimamizi wa Ujenzi wa Kampuni ya Strabag akiwaoneshea mkono kusimama waendesha magari waliokuwa wakionekana kukaidi kutumia barabara hizo.
Taswira ya barabara hizo.
Bajaj ikikatiza kupita licha ya kuweka uzio wa kamba.
Kibao kinachoonesha kuzuiliwa kupita kwa waendesha magari ya kawaida na bajaj eneo la Ubungo Stendi ya Mabasi.
Mmoja wa wasimamizi wa Ujenzi wa Kampuni ya Strabag akiwaoneshea mkono kusimama waendesha magari waliokuwa wakionekana kukaidi kutumia barabara hizo.
Taswira ya barabara hizo.
BAADHI ya wananchi wa Jiji la Dar es Salaam, wameonekana kukaidi agizo la mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam ’Dart’ baada ya kuweka vibao vinavyowatahadharisha wananchi kutokutumia barabara hizo kutokana na kuanza kutumika hivi karibuni