Sunday, May 1, 2016

Mama Wema Sepetu Aonyesha Alivyoumbika Adai Mtoto wake Amechukua Kwake..Awashangaa Wanaosema Wema Ametumia Dawa Kukuza Makalio

Mama Wema Sepetu Ameongea na Kusema kuwa anawashangaa wale wote wanaosema mtoto wake ameongeza makalio kwa dawa wakati wanaona kabisa kuwa amerisi makalio hayo kutoka kwa mama yake...Mama huyo amekwenda mbali zaidi na kuweka video yake hapa akionyesha jinsi alivyo mashalaaa......

Tazama Video Hapa:

udaku_special

5 hours ago
Mama Wema Kawapa jibu sasa ....Kumbe chura wa wema kamtoa kwa mama yake....hakuna dawa za mchina wala Sindano.. Video nzima ingia @tshantalle
POWERED BY INK361.COM