Rihama ally nae alikuwepo pia alitoa yake ya moyoni kuhusu wote wanaodhania kwamba kibao kata ni uhuni, aliwapa ukweli na kuwaambia kuwa huu ndo mziki wetu na kiuno ndio hasili yetu,wacheni tukatikee
Boke akifatilia kwa makini kibao kata
Mabinti wakifatilia kwa makini kibao kata