JIJI LETU

Thursday, June 26, 2014

HII NDIYO NGUO ATAKAYOVAA DIAMOND KWENYE RED CARPET YA BET AWARDS


BET Awards zinakaribia kufanyika na Diamond Platinumz anaelekea huko kwasababu amekuwa nominated kwenye kipengele cha Best African Act. Diamond atapita kwenye Red Carpet itakayo tumiwa na wasanii mbalimbali siku ya tukio. 
 
Hii ni sehemu ya nguo ambayo atavaa siku ya tukio na imetengenezwa na Sheria Ngowi, sehemu moja imeandikwa Mr Diamond Platnumz.

Haya ni maneno aliyoandika alipo-share hii picha.
at 10:19:00 PM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • MAGAZETI YA LEO SEPTEMBER 29 2014
  • Mwanafunzi aliye kuwa 'kichwa' darasani apata 0 kwenye mtihani wa mwisho, Imezua gumzo mtandaoni!
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI AUGUST 16 2014
  • MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULY 11 2015
  • NEYMAR ATUMA ‘PRIVATE JET’ KUMFUATA GIRLFRIEND WAKE NCHINI SERBIA!
  • Audio: Wema akiongelea uamuzi wa kuwania ubunge wa viti maalum
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEBRUARY 1 2016
  • MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNE 22 2015
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMATANO MAY 28,2014
  • Serikali Kupitia Upya Mikataba ya Shirika la Reli Tanzania (TRL)
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.